















LATEST LESSONS
Tunapandisha masomo mbalimbali kila siku. Masomo haya yote yanapatikana bure. Kwa wanafunzi wa programming ambao watakuwa wanahitaji projects files wawasiliane na mwalimu husika.
Unaweza kutuandikia kupitia barua pepe info@swahiliacademy soomo gani ungependa lifundishwe. Somo ambalo litakuwa limeombwa na wengi litapewa kipaumbele.
Kila tutorial na kozi zote inayotolewa ni mali ya Swahili Academy. Kutengeneza CD kwa malengo ya kibiashara bila kutufahamisha sisi wamiliki ni kosa la jinai na linaweza kufanya uchukuliwe hatua za kisheria.
ALL LESSONS ALL TUTORIALSBUILT FOR ALL
CHEKECHEA
Tunatoa video na CD za masomo mbalimbali kwa ajili ya watoto wa chekechea.Pia tunauza vitabu vya masomo mbalimbali vilivyoandaliwa kwa ajili ya watoto
PRIMARY
Tumeandaa mazingira mazuri ya ufundishaji wa masomo mbalimbali hasa ya ICT kwa wanafunzi wa shule za msingi. Pia tunaendesha mitihani ya kila wiki mashuleni
O'LEVEL
kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne , tunazo video za masomo mbalimbali ya science,arts, biashara na computer.Pia tunatoa notes za masomo mbalimbali.
A' LEVEL
Tunafundisha na kutoa notes kwa ajili ya vijana wa High School. Tunamuandaa mwanafunzi kupambana na challenge zilizopo mtaani mara baada ya kumaliza shule.

MAJADILIANO
Jiunge na majadiliano(discussions) yanayohusu mambo mbalimbali kupitia forum yetu upate kuelimika na kutoa mawazo yako kwa wengine.
Mijadala hii imegawanywa katika sehemu mbalimbali ili kufanya utafutaji wa mada husika uwe rahisi. Chagua mada unayotaka kuanzisha majadiliano halafu andika ujumbe wako.
Kwa mada zinazohusu somo lililotolewa na mwalimu husika , mwalimu wa hilo somo ndiye atakuwa mwongozaji mkuu wa majadiliano.Na mwalimu ndiye atayekuwa na mamlaka ya kuhitimisha majadiliano. Anza KUJADILI kwa kunonyeza HAPA
Jifunze Kilakitu
Kupitia Swahili Academy utapata fursa ya kujifunza unachokitaka.Tuandikie sasa nini ungependa kujifunza.
Wanafunzi Wa Chuo
Swahili Academy itawawezesha kupata masomo mbalimbali yanayofundishwa vyuoni kama vile Programming, Networking e.t.c
Wanafunzi wa Sekondari
Kwa wanafunzi wa sekondari,Swahili Academy inafundisha masomo mbalimbali pamoja na kutoa notes bila malipo
Kwa Ajili Ya Freelancers
Tunatoa msaada mkubwa kwa wajasirimali wanaotumia internet(freelancers) kama chanzo ca kipato chao.Tunatoa Msaada wa elimu na uwezo
Mitihani na Test Kila Wiki
Swahili Academy inaendesha program ya mitihani kila wiki katika mikoa yote Tanzania.Mitihani inafanyika MASHULENI na ONLINE. Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi.
Tumetengeza kwa Upendo
Team inayounda Swahili Academy imetengeneza software hii kwa upendo wa watanzania na watu wake.Kwa pamoja tukiamua tunaweza na tutafika mbali
Madarasa Ya Ana kwa Ana
Tunaendesha madarasa yetu kwa namna mbili, Online na Offline.Kwa sasa ofisi zetu zinapatikana mkoani Dodoma na Dar Es Salaam. Kwa maelezo zaidi kuhusu locations zetu bonyeza linki hii.
malengo yetu ni kumfikia kila mmoja wetu.Tunaamini elimu bora ni ile inayotolewa BILA MALIPO na inayomfanya mwanafunzi awe ni mwenye furaha kila siku za kusoma kwake. INTERNET imesaidia utoaji wa elimu kuwa rahisi zaidi na tunashauri WAZAZI wa-adapt hii nyia mpya ya elimu.
Tunatoa pia PROGRAM SPESHO kwa ajili ya wazazi wanaotaka ukaribu wetu zaidi na watoto wao. kama wewe ni mzazi na ungependa ujue kuhus hili tembelea ukurasa unaowahusu wazazi kwa kubonyeza LINK HII na upate maelezo zaidi.

INAPENDWA NA WANAFUNZI
Tunapenda kusikiz maoni ya mwanafunzi wetu. Kwa maoni yao tunajiboresha zaidi
TUNATAMBULIKA NA SERIKALI
Taasisi yetu imesajiliwa na inatambulika na serikali.Kwa maelezo zaidi fuata link.
MITIHANI NA ZAWADI MBALIMBALI
Fanya mtihani na ujishindie zawadi. Tunapenda wanafunza wanaofanya vizuri.
MATANGAZO YA SCHOLARSHIPS
Swahili Academy inatoa na kutangaza scholarships kwa wanafunzi wa aina zote.